choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,081
- 3,831
Walikua wamefungiwa( hivo wasingeweza kuwatumia wachezaji waliowasajili) hilo wakalimaliza , kumbe tena walikua hawajawasajili hao wachezaji kwenye mfumo wa TffMkuu samahani mimi sijaelewa!
Wamefungiwa kusajili au baadhi ya wachezaji wanaidai timu!?