Mechi ya Barcelona na Juventus leo Juni 5, 2015

Mechi ya Barcelona na Juventus leo Juni 5, 2015

Neymaaaaar no ameshika mpira

Mwamuzi anakataa goli kwasababu Neymaa aligusa kwa mkono mara tu alipopiga kwa kichwa kufunga goli ambalo lingekuwa ni la tatu na la kupigilia misumari jeneza la Juventus
 
Huyu linesman ndiye alitakiwa awe kati
 
Leo ndio nimeona mwamuzi wa pale karibu na goli anafanya kazi. Siku zote huwa nashangaa kwanini wapo
 
Mturuki kashakuchukuwa chake mapema. Anapeta penati za Juventus
 
Back
Top Bottom