Messi asipofunga kiatu itakuaje,kwani wanalingana na Ronaldo.
Got to give props to Evra, kamficha Messi mfukoni
Pique unataka kufunga au unaokoa...khaaa!!!
ahahaaa ameshazoea kuokoa
Pogba ana mbavu
Pique unataka kufunga au unaokoa...khaaa!!!
Pogba ana mbavu
Unaona kinyume au umegeuza TV???
Za mbwa.