Mechi ya Barcelona na Juventus leo Juni 5, 2015

Juve hamna kitu kabisa. Hata lile goli walibahatisha tu.

Kwanza score ilitakiwa iwe 3-1.
 
Zimebaki Five minutes za hawa manyang'au wa Spain kubeba kombe
 
Bado Barca wanahitaji kipa huyu wa leo kama sio defenders wazuri basi tungehesabu magoli ya kutosha!
 
Hawa waschenzi toka Spain wanajiangusha kama kuku mwenye mdondo
 
Angekuwa refa mwingine Barca wasingeshinda hii mechi..
 
Ban diving and easy falling down Barca and Brazil will be just other poor teams. F'ck Barca.....
 
Hahahahahaaaaaa mi mkali aiseeee......Neymaaaaaaaaaaaaaaaaar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…