PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,106
- 14,353
For this season I was always a loser hahhaaaaaaa...
1.Man u sikuwepo eufa, mbaya zaidi ameshika nafasi ya 4 , tutaanzia kwenye makundi.
2. nikasaport majirani zetu man city wakatolewa.
3. Nikapeleka moyo kwa madrid .naye akapigwa nje.
4.Nikaamia kwa Juventus alomtoa Madrid ..
naye Leo kachezea....
Tukutane copa america...
Ha ha ha ha ha ha ha kwa hyo mkuu copa america upo wap