Mechi ya Barcelona na Juventus leo Juni 5, 2015

Mechi ya Barcelona na Juventus leo Juni 5, 2015

For this season I was always a loser hahhaaaaaaa...

1.Man u sikuwepo eufa, mbaya zaidi ameshika nafasi ya 4 , tutaanzia kwenye makundi.

2. nikasaport majirani zetu man city wakatolewa.

3. Nikapeleka moyo kwa madrid .naye akapigwa nje.

4.Nikaamia kwa Juventus alomtoa Madrid ..
naye Leo kachezea....

Tukutane copa america...

Ha ha ha ha ha ha ha kwa hyo mkuu copa america upo wap
 
mkuu mwaka huu wako umeona ukienda chile yupo bravo uruguay yupo suarez na brazili neymar ARGENTINA ndiooooo usiseme


Hhahaaaaaa mkuu,

Hao wadau siwapendi basi, nilitaka Hata watoke majeruhi Jana...
 
Hakuna wa kushidansha na barc'a now hata madrid kufngwa i wonder kwa mpra huuuo mmh
 
bila ushabiki kiukweli jana JUVE walijitahidi sana tu. na laiti kama barca wange jisahau kidogo wangefungwa wao , kwenye dakika ya 60 Barca walipoteana .
kiukweli JUVE jana pake katikati waliweza kuwabana vizuri barca . TUSUBIRI MSIMU UJAO
 
Kuna watu wehu kabisaaaa.. Yani kabsaa mtu anabet anasema juve wanashinda.. How?
 
Back
Top Bottom