Mechi ya Barcelona na Juventus leo Juni 5, 2015


Ha ha ha ha ha ha ha kwa hyo mkuu copa america upo wap
 
mkuu mwaka huu wako umeona ukienda chile yupo bravo uruguay yupo suarez na brazili neymar ARGENTINA ndiooooo usiseme


Hhahaaaaaa mkuu,

Hao wadau siwapendi basi, nilitaka Hata watoke majeruhi Jana...
 
Hakuna wa kushidansha na barc'a now hata madrid kufngwa i wonder kwa mpra huuuo mmh
 
Barcelona 3 juve 1 ,barcelona katangazwa jana ucku bingwa mpya wa UEFA hongera xana Tim yangu barcelona kwa kutwaa UEFA.
 
bila ushabiki kiukweli jana JUVE walijitahidi sana tu. na laiti kama barca wange jisahau kidogo wangefungwa wao , kwenye dakika ya 60 Barca walipoteana .
kiukweli JUVE jana pake katikati waliweza kuwabana vizuri barca . TUSUBIRI MSIMU UJAO
 
Kuna watu wehu kabisaaaa.. Yani kabsaa mtu anabet anasema juve wanashinda.. How?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…