Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safiiiiii!!! Hivi hapo unakunywa kinywaji gani embu ongeza nakuja kulipa fasta..... Yaani mumy vidume vyote vimechemka hata wale watoto wa Mou hapa ni hela tu kama hawana wajikatae mapemaaaa!!
Weweweeeerrrrrrrreeeeee !!!!!! Kwendraaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!
Hahahaaaaa wale watoto wa mou....umenichekesha sana maana nimeota umeolewa na Ntuzu daaahhh....ila ni ndoto tuu tehe teheee
Ongeza kiroba kimoja nakuja kulipa cute b
Ntuzu ni mwanaume wa pekee kwa kweli anatoa hela za vocha mpolee ata ukichepuka hana shida...hahahaa usimwache yule ni wako nishaota ndoto ila kwa kua mimi na wew ni family sio mbaya tuki mshare.
Kumbe ndo maana siku hizi ananidengulia kumbe kakupata. Ntuzu utanikoma kumbe ndo zako utaka kula kuku na mayai eeeh!!!!
Kiroba?.lol sikupi tena free p..
Hahahaaa unamfukuza atatutimua nyumbani kwake si unajua tumemvamia hahahaaaa ila atajiju mwenyewe kwani tulimtuma aanzishe uzi sport forum...fukuzaaa uyooooooo
KHaaaaaaaa!!! Wewe hizo ndoto zako zinagonga ikulu kwa Ntuzu embu zishindweeee!!!! Ntuzu ni msweet sana tatizo sasa sisi watoto wa kishua toka OT ni hela ndo mpango mzima......... Lol
Hahahaaaaa apa tunawachuna mpaka watembee uchi... Ntuzu, b5-click , PNC 1 , Cardinal06 , hawa ni wanne sasa tugawane...
Wakishindwa kutoa hela basi tutawageuza ma house boy hahahaaa A.K.A kaka wa kazi.
Chagua wako wawili nichie wawili nita hakikisha nawaleta OT waachane umasikin
Ntuzu ni mwanaume wa pekee kwa kweli anatoa hela za vocha mpolee ata ukichepuka hana shida...hahahaa usimwache yule ni wako nishaota ndoto ila kwa kua mimi na wew ni family sio mbaya tuki mshare
Giza alikai na.nuruChiellin hayupo...
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha haHahahaaaaa apa tunawachuna mpaka watembee uchi... Ntuzu, b5-click , PNC 1 , Cardinal06 , hawa ni wanne sasa tugawane...
Wakishindwa kutoa hela basi tutawageuza ma house boy hahahaaa A.K.A kaka wa kazi.
Chagua wako wawili nichie wawili nita hakikisha nawaleta OT waachane umasikin
Hahahaaaaa apa tunawachuna mpaka watembee uchi... Ntuzu, b5-click , PNC 1 , Cardinal06 , hawa ni wanne sasa tugawane...
Wakishindwa kutoa hela basi tutawageuza ma house boy hahahaaa A.K.A kaka wa kazi.
Chagua wako wawili nichie wawili nita hakikisha nawaleta OT waachane umasikin
Mumy mimi niachie huyu Cardinal06 anajifanya mgumu sana, b5-click huyu naye niachie niendelee kumtepesha zaidi .
.
Kumbe ndo maana siku hizi ananidengulia kumbe kakupata. Ntuzu utanikoma kumbe ndo zako utaka kula kuku na mayai eeeh!!!!
KHaaaaaaaa!!! Wewe hizo ndoto zako zinagonga ikulu kwa Ntuzu embu zishindweeee!!!! Ntuzu ni msweet sana tatizo sasa sisi watoto wa kishua toka OT ni hela ndo mpango mzima......... Lol
Ntuzu ni mwanaume wa pekee kwa kweli anatoa hela za vocha mpolee ata ukichepuka hana shida...hahahaa usimwache yule ni wako nishaota ndoto ila kwa kua mimi na wew ni family sio mbaya tuki mshare