Mechi ya Barcelona na Juventus leo Juni 5, 2015

Mechi ya Barcelona na Juventus leo Juni 5, 2015

Cardinal06

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2015
Posts
963
Reaction score
326
Ni leo hii majira ya saa tatu na dakika arobaini na tano (09:45) usiku kwa majira ya Afrika Mashariki katika uwanja wa OLYMPIASTADION BERLIN ulioko katika jijila Berlin nchini Ujerumani mchezo wa kuhitimisha mashindano makubwa kabisa kwa ngazi ya vilabu UEFA CHAMPIONS LEAGUE.

M
engi yanategemewa katika mechi hii.

Sasa weka utabiri wako hapa..

================================
Final Score

Barcelona 3 - Juventus 1

Barcelona wamekuwa mabingwa wapya wa Ulaya kwa msimu huu


#TeamBarcelona #UCL
 
Game itaboa bse Barcelona wataitawala mwanzo mwisho na kushinda kirahisi.

Barcelona 3 Juventus 0
 
Back
Top Bottom