BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,039
we ni me au ke maana hizi ID za jf utata
Umeishaambiwa na wadau inaonyeshwa sentanta, hiyo inapatikana startimes sio dstv, dstv hawaonyeshi hiyo mechi mkuu!
Umeishaambiwa na wadau inaonyeshwa sentanta, hiyo inapatikana startimes sio dstv, dstv hawaonyeshi hiyo mechi mkuu!
Tumekosa uhondo! Cha kufanya,ni kusogea kitandani tu!
Huyu Puyol mbona anaharibu raha??? Naona Madrid wataanza kunywa nyingi!
Aaagh.. kaharibu sana mkuu , Mi cmpendi!!
pole we endelea kula kwa tindo wakati sisi tunakula kwa mrija
Puyol kachoa.. Game 1-1 Dk 53
Duh hii kali yaani muda wa kuandika thread hii si ungegoogle tu kujua.