Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
kiukweli simba wana team nzuri na jana jamaa walicheza sana.. ila UCHAWI ULITUSAIDIA SANA WANAYANGA. hili wala halina ubishi na bahati mbaya kabisa mzee akilimali amekiri hilo. jana Yanga tuliingia kuzuia tusifungwe tu. hakukuwa na lingine. jamaa walituzidi sana na ilikuw atupigwe bao si chini ya mbili. lakini wazee waliamua nao kuhangaikia team yetu isiaibishwe na matokeo yake tumeyaona. huu uchawi hatuwezi kuzifanyia na tema nyingine hasa mechi za kimataifa?