Duh mpira hivi unahesabika hivyo? Kwamba penalty Inge koswa basi mabao yangekuwa 2-1?
Hii inaitwa "mjadala wa mpira kwa wacheza ngoma"
Hata mie nashangaa kwanini refa hakutoa kadi.Refa ndio aliwabeba Yanga kwa kuwapa penat Simba....
Maana isingekuwa vile ilibidi Yondani apewe red card kwasababu alicheza rafu akiwa ni mtu wa mwisho....na hapo ndipo zile HAMSA mngezipokea kwa mikono miwili kengemaji nyie
Sent using Jamii Forums mobile app
Binamu Mapinduzi uchomoiπAhsante ahsante Binamu.
Hahahahaaa. Najua hamchelewi kuudhika kila tunapoyakumbushia ya jumamosi.πππ
Nakusubiria Mapinduzi binamu.
Mapinduzi watajifungisha na Azam nusu fainaliAhsante ahsante Binamu.
Hahahahaaa. Najua hamchelewi kuudhika kila tunapoyakumbushia ya jumamosi.πππ
Nakusubiria Mapinduzi binamu.
Japo kila shabiki anaweza kuingia choo cha upande wowote, kule kwa mbumbumbu kunatisha hatari. Sink za kunawia wanakojolea. Rage waelimishe watu wakoHii mechi ya jana kwa ile penati yenye utata vile.
1. Ingekuwa imetolewa upande wa Yanga ungeshuhudia viti vyote uwanjani vinavyong'olewa. Hapo ndiyo utashuhudia mashabiki wa Yanga ni wastahimilivu, wastaarabu mno.
2. Ile penati ingetolewa upande wa Yanga ungeshuhudia leo Haji Manara anavyohaha kila media na CD mkononi kuonyesha kilichotokea. Hapo ndiyo utaelewa ustaarabu wa viongozi ulivyo kwa hizi timu.
3. Ukija mitaani, ingekuwa ile penati imetolewa upande wa Yanga, ilikuwa mashabiki wa Yanga wote nchi nzima wawe wamejificha. Hapo ndiyo utaelewa mashabiki wa mikia wengi ni watoto na wavuta bangi; wanabadirika kabisa wanakuwa vichaa. Ungeshudia pikipiki zinavyoendeshwa kwa fujo wangeshinda jana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binamu nilikuwepo maeneo hayo hayo hapo. πππ
Wakiogopa Aibu nyingine. ππMapinduzi watajifungisha na Azam nusu fainali
Tuombe uzima binamu.Binamu Mapinduzi uchomoiπ
Goli moja la mkono la Tambwe,mkavunja viti uwanja mzima. Yangefungwa mawili kama yale ninavyowajua nyie guluguja mngevamia kuvunja ikuluKwa mfano ile faulo ingepigwa nje ya kumi na nane je unajuaje kama Francis Kahata angekosa ile faulo? Hv nyinyi watu was Yanga siku zote mnajipambanua kua na kipimo cha halo ya juu cha ustaarabu hv mchezaji wenu ngasa hakuwahi kumpiga kichwa mchezaji mwenzake? Wachezaji wenu waliwahi kumpiga refa he kama nyinyi in wastaarabu mnawezaje kukaa na wachezaji wa hovyo!!
Bina nilikuacha nyumbani hapo ulifikija? πBinamu nilikuwepo maeneo hayo hayo hapo. πππ
Binamu sisi tuna watamani na kombe tunalitamaniTuombe uzima binamu.