Mechi ya kirafiki kati ya Ushirombo rangers vs Simba sc wamatopeni mjipange.

Hahaha mkuu kuna mchezaji wetu anaitwa Gasper Watamkoma jamaa ni mchezaji bora wa mkoa wa geita watamkoma aisee .

Mchezaji bora wa Geita??..ha haaa!.. kuwa serious mzee huyo mchunga ng'ombe na kina Ajibu wapi na wapi
 
Ndiyo hadhi yao Mikia Ushirombo na timu za Matombo
 
Mchezaji bora wa Geita??..ha haaa!.. kuwa serious mzee huyo mchunga ng'ombe na kina Ajibu wapi na wapi
Mkuu huyu jamaa ni shida hadi ndanda walimkubali walipigwa vyenga vya hatari mpaka wakaanza kumchezea rafu kila alipokamata mpira.
 
Wamatopen wakishinda wanatafuta mechi ya kirafiki wakifungwa ratiba ya mechi za kirafiki hakuna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…