Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Kipi kipimo Cha umaarufu?Tuvimbiane wakuu...watu maarufu wanaoshabikia simba au yanga
mtu ambaye hata ukisearch jina lake google unalipata fasta kwenye matokeo matano ya juu ..au kwenye zile suggestion index pale...hao ni ktk makundi niliyotaja kwenye post no 1 hapo..Kipi kipimo Cha umaarufu?
Za nn bosiYanga wana Stress
Sio mbayaIwe ya wanawake na ya wanaume
Akitokea mtu akadhamini hili pambano atavuna Sana hela.Natamani iandaliwe mechi hiyo iwe official kabisa pale kwa mkapa..
Wachezaji wawepo mashabiki kindakindaki wa timu hizo pendwa nchini..ikibidi ni wale tu ambao wana fahamika..yaani watu maarufu mfano ..viongozi wa kidini, kisiasa, kielimu nk. wasanii, waburudishaji, watu wa media, social netwoks wafanyabiashara..na wote wenye ushawishi.
yanga...simba TWENDE KAZI ...
Usajili uanze
Pendekeza wachezaji unaowataka katika kikosi cha timu yako
😀 Mtani sisi tuwekeni kile kitengo cha kushangilia.Iwe ya wanawake na ya wanaume
Lol. Ungejua kama kupiga danadana tu mwisho kwangu huwa ni mbili tu mtani sasa hapo Uwanjani si itakuwa vituko.
Sasa unadhani, kilichowafanya wamsumbue Bibi Mariam wa Coastal Union kama sio stress ni niniZa nn bosi
Ccm watafanya mechi yaoNatamani iandaliwe mechi hiyo iwe official kabisa pale kwa mkapa..
Wachezaji wawepo mashabiki kindakindaki wa timu hizo pendwa nchini..ikibidi ni wale tu ambao wana fahamika..yaani watu maarufu mfano ..viongozi wa kidini, kisiasa, kielimu nk. wasanii, waburudishaji, watu wa media, social netwoks wafanyabiashara..na wote wenye ushawishi.
yanga...simba TWENDE KAZI ...
Usajili uanze
Pendekeza wachezaji unaowataka katika kikosi cha timu yako
Mtacheza hata dk 3 za mwsho😀 Mtani sisi tuwekeni kile kitengo cha kushangilia.
Aisee sikujuaLol. Ungejua kama kupiga danadana tu mwisho kwangu huwa ni mbili tu mtani sasa hapo Uwanjani si itakuwa vituko.
Ndo hivyo Mtani mi napenda mpira wa kuangalia tu na kushangilia wanavyocheza ila si kuingia humo na mie kucheza.Aisee sikujua