Mnajitekenya na kucheka wenyewe........kama Cosmo wanaweza kupata hata goli moja.....bado simuoni Robatinho akienjoy Xmas bongo
Cosmo 😂😂😂Inasikitisha sana ,kwa timu hiyo sima ilitakiwa ipate magoli kama ya netball ,hamna hamna 12.
Kila match lazima waruhusu goal halafu eti yule msasambuaji Ahmed anasema wana ukuta wa BerlinMnajitekenya na kucheka wenyewe........kama Cosmo wanaweza kupata hata goli moja.....bado simuoni Robatinho akienjoy Xmas bongo
Ok. JKT walipofungwa tano na Yanga, mkasema Yanga imekutana na timu mbovu. Hivi JKT unaweza ukawalinganisha na hao vilaza? Tena wameweza kupata goli moja..!!!UTOPOLO MACHIZI SOKA YATAKASIRIKA.
LAANA ZA SIMBA NA YANGA.
ANYWAY NDIO KICHAKA CHA WAJINGA NA WAPUMBAVU KUPOTEZEA MUDA.