Chukwu emeka JF-Expert Member Joined Jan 12, 2018 Posts 24,314 Reaction score 38,919 Sep 5, 2023 #21 Frank Wanjiru said: Kila match lazima waruhusu goal halafu eti yule msasambuaji Ahmed anasema wana ukuta wa Berlin Click to expand... Baada ya match ya Power Dynamo tutasikia mengi, usiwe na wasiwasi acha waendelee kucheza match gizani tu
Frank Wanjiru said: Kila match lazima waruhusu goal halafu eti yule msasambuaji Ahmed anasema wana ukuta wa Berlin Click to expand... Baada ya match ya Power Dynamo tutasikia mengi, usiwe na wasiwasi acha waendelee kucheza match gizani tu
Kilimbatzz JF-Expert Member Joined Feb 11, 2023 Posts 9,134 Reaction score 14,593 Sep 6, 2023 #22 Chukwu emeka said: Mnajitekenya na kucheka wenyewe........kama Cosmo wanaweza kupata hata goli moja.....bado simuoni Robatinho akienjoy Xmas bongo Click to expand... Aahaaaa
Chukwu emeka said: Mnajitekenya na kucheka wenyewe........kama Cosmo wanaweza kupata hata goli moja.....bado simuoni Robatinho akienjoy Xmas bongo Click to expand... Aahaaaa
Kalpana JF-Expert Member Joined Jun 16, 2017 Posts 32,603 Reaction score 62,269 Sep 6, 2023 #23 Nyie wanga wa kijani...haya ni mazoezi...na mmeshasikia wafungaji ni kina nani so mkae tayari....
A Amaira Senior Member Joined May 30, 2021 Posts 150 Reaction score 176 Sep 6, 2023 #24 Kalpana said: Nyie wanga wa kijani...haya ni mazoezi...na mmeshasikia wafungaji ni kina nani so mkae tayari.... Click to expand... Mtu kufanya vzuri mazoezini ni kawaida shida ipo kwenye utendaji ndani ya uwanja
Kalpana said: Nyie wanga wa kijani...haya ni mazoezi...na mmeshasikia wafungaji ni kina nani so mkae tayari.... Click to expand... Mtu kufanya vzuri mazoezini ni kawaida shida ipo kwenye utendaji ndani ya uwanja
kagwima JF-Expert Member Joined Jun 6, 2016 Posts 1,278 Reaction score 1,630 Sep 7, 2023 #25 Popoma alisema watacheza mechi za kujifurahisha wapate goli nyingi