Mechi ya kirafiki Yanga vs Mlandege

mtzmweusi

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
8,658
Reaction score
8,994
Leo Yanga wanaendelea kucheza mchezo wa kujipima nguvu na kujiandaa na michuano ya klabu bingwa afrika hatua ya awali ambapo watacheza na township rollers tar 10 siku ya jumamosi mpaka naandika thread hii matokeo Yanga anaongoza goli 3 kwa 0 wafungaji wakiwa Sibomana goli la kwanza,la pili amefunga Juma balinya na goli la 3 amefunga Sydney
 
KAMA KAWAIDA YETU
 
Mlandege ni Team ya WAP?? Ili tuweze kutoa comment ambazo ziko katika minzan sahihi
 
Muwe mnatupia kabla game haijaanza, kesho mje tena mkicheza na mlandege
 
Township rollers mnakwenda kujipima na mlandege kweli halafu mnajisifia goli 3
 
Katika Rank ya CAF hii Mlandege ni ya ngapi?
 
Leo tunakipiga na Malindi muda kama jana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…