Mechi ya kwanza ya ligi kwa Cristiano Ronaldo ni balaa tupu, mashabiki waliohudhuria waanza kunong'ona pembeni. Ashindwa hata kumlenga golikipa

Mechi ya kwanza ya ligi kwa Cristiano Ronaldo ni balaa tupu, mashabiki waliohudhuria waanza kunong'ona pembeni. Ashindwa hata kumlenga golikipa

uwe hodari

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2022
Posts
4,045
Reaction score
8,608
Jana kwa mara ya kwanza Ronaldo alianza kwenye mechi ya ligi uko Uarabuni

Ila imekuwa mechi mbaya sana kwake katika historia ya soka kwake. Cristiano Ronaldo katika mara 35 alivyogusa mpira ndani ya dkk 90

Mipira 20 alipoteza
Mipira kumi akatoa pasi

Mipira minne akabutua nje akashindwa kumlenga hata golikipa. Hali hii ilipelekea mashabiki kuanza kunong'ona pembeni kuuliza huyu ni Ronaldo kweli au tumeletewa copy yake?

Imagine ligi ya uswekeni Ronaldo anashindwa kupiga hata shot on target tena kocha wake akiwa amemuondolea jukumu la kukaba kasimama mbele tu

Huyu Ronaldo kwanini hataki kukubali kama kajiishia? Anataka mashabiki tufanyaje
 
Tatizo la Ronaldo ni ubishi. Ameshatumia nguvu nyingi ndani ya miaka yake yote aliyocheza mpira. Mwili umechoka! Hivyo anatakiwa kupumzika.

Wenzake akina Pepe, Thiago Silva, nk bado wanakinukisha mpaka leo! Siyo kwa sababu umri haujawatupa! La hasha!! Kinachowasaidia, hawakutumia nguvu kubwa kama yeye.

Ushauri; ifikie wakati akubali kustaafu kwa heshima, ili ale mafao yake vizuri na familia yake.
 
Would have been better if he retire with honor. The guy has already spent much of his energy in Real Madrid and he won everythings there Including back to back of UEFA, not to mention the seasons he spent in Man U and Juventus. By the way I think his age doesn't allow him to be on pitch anymore. But like any other human, He considers to have Money first, Honor leter. It's always that way.
 
Jana kwa mara ya kwanza ronaldo alianza kwenye mechi ya ligi uko uarabuni

Ila imekuwa mechi mbaya sana kwake katika historia ya soka kwake. Christiano ronaldo katika mara 35 alivyogusa mpira ndani ya dkk 90

Mipira 20 alipoteza
Mipira kumi akatoa pasi

Mipira minne akabutua nje akashindwa kumlenga hata golikipa. Hali hii ilipelekea mashabiki kuanza kunong'ona pembeni kuuliza huyu ni ronaldo kweli au tumeletewa copy yake?

Imagine ligi ya uswekeni ronaldo anashindwa kupiga hata shoot on target tena kocha wake akiwa amemuondolea jukumu la kukaba kasimama mbele tu

Huyu ronaldo kwann hataki kukubali kama kajiishia? Anataka mashabiki tufanyaje
Ronaldo alikufannya nini wewe dada?
 
Would have been better if he retire with honor. The guy has already spent much of his energy in Real Madrid and he won everythings there Including back to back of UEFA, not to mention the seasons he spent in Man U and Juventus. By the way I think his age doesn't allow him to be on pitch anymore. But like any other human, He considers to have Money first, Honor leter. It's always that way.
Wala sio money first,its just his character,he doesnt gve up easily,very stubborn too. He is in denial pia,sio rahisi kukubali guys.
Ni kama wale wazee wa vijijin waliozoea shamba tangu wanazaliwa so hata awe na 70s umkataze babu usiende shamban,hatakuelewa.
 
Jana kwa mara ya kwanza ronaldo alianza kwenye mechi ya ligi uko uarabuni

Ila imekuwa mechi mbaya sana kwake katika historia ya soka kwake. Christiano ronaldo katika mara 35 alivyogusa mpira ndani ya dkk 90

Mipira 20 alipoteza
Mipira kumi akatoa pasi

Mipira minne akabutua nje akashindwa kumlenga hata golikipa. Hali hii ilipelekea mashabiki kuanza kunong'ona pembeni kuuliza huyu ni ronaldo kweli au tumeletewa copy yake?

Imagine ligi ya uswekeni ronaldo anashindwa kupiga hata shoot on target tena kocha wake akiwa amemuondolea jukumu la kukaba kasimama mbele tu

Huyu ronaldo kwann hataki kukubali kama kajiishia? Anataka mashabiki tufanyaje
Imekua mechi mbaya umeangalia goli lililofungwa assist alitoa nani?
 
Tatizo la Ronaldo ni ubishi. Ameshatumia nguvu nyingi ndani ya miaka yake yote aliyocheza mpira. Mwili umechoka! Hivyo anatakiwa kupumzika.

Wenzake akina Pepe, Thiago Silva, nk bado wanakinukisha mpaka leo! Siyo kwa sababu umri haujawatupa! La hasha!! Kinachowasaidia, hawakutumia nguvu kubwa kama yeye.

Ushauri; ifikie wakati akubali kustaafu kwa heshima, ili ale mafao yake vizuri na familia yake.

Wewe ndo umetumia nguvu nyingi ukilinganishwa na CR7 [emoji23]
 
Jana kwa mara ya kwanza ronaldo alianza kwenye mechi ya ligi uko uarabuni

Ila imekuwa mechi mbaya sana kwake katika historia ya soka kwake. Christiano ronaldo katika mara 35 alivyogusa mpira ndani ya dkk 90

Mipira 20 alipoteza
Mipira kumi akatoa pasi

Mipira minne akabutua nje akashindwa kumlenga hata golikipa. Hali hii ilipelekea mashabiki kuanza kunong'ona pembeni kuuliza huyu ni ronaldo kweli au tumeletewa copy yake?

Imagine ligi ya uswekeni ronaldo anashindwa kupiga hata shoot on target tena kocha wake akiwa amemuondolea jukumu la kukaba kasimama mbele tu

Huyu ronaldo kwann hataki kukubali kama kajiishia? Anataka mashabiki tufanyaje

Fanya kile unachokipenda ukiwasiliza watu huwezi ishi kwa amani hvyo ndivyo CR7 anavyofanya....
Chuki umebaki nazo wewe nzala [emoji23]
 
Tatizo la Ronaldo ni ubishi. Ameshatumia nguvu nyingi ndani ya miaka yake yote aliyocheza mpira. Mwili umechoka! Hivyo anatakiwa kupumzika.

Wenzake akina Pepe, Thiago Silva, nk bado wanakinukisha mpaka leo! Siyo kwa sababu umri haujawatupa! La hasha!! Kinachowasaidia, hawakutumia nguvu kubwa kama yeye.

Ushauri; ifikie wakati akubali kustaafu kwa heshima, ili ale mafao yake vizuri na familia yake.
Hata ungekuwa ww Ungeacha yale maehela yote!?
acheni hizo bana
 
Back
Top Bottom