Mechi ya kwanza ya ligi kwa Cristiano Ronaldo ni balaa tupu, mashabiki waliohudhuria waanza kunong'ona pembeni. Ashindwa hata kumlenga golikipa

Anapiga hela ya mwarabu.
 
Absolutely!
 
Into a second game ronaldo failed to score a goal
 
Al Nassr waliamua kuchagua umaarufu(C. Ronaldo) na kuutupa mkono ushindi(V. Aboubakar) na watakandwa sanaaa.
 
Ukiwa katika jukwaa kuu kwa muda mrefu na kuzoea miujiza uliyokuwa ukitenda kwa muda wote sidhani Kama utakuwa na amani hasa pale namba zinapokataana.
kwa Athlete yoyote mkubwa hawezi kubali yaishe wazi wazi.
Mpira ni yeye na ndio chaguo la kwanza ....atabadili wanawake na timu ila sio kuachana na mpira.
#Muda na Nafasi
 
Asante Mungu cr7 back in his form,kafunga leo
Japo dah Talisca kapewa red card sjui itakuaje mana ye ndo anaibebaga Al nassir
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…