Mechi ya leo waliyoikaba Yanga ni Refa na Fei Toto

Mechi ya leo waliyoikaba Yanga ni Refa na Fei Toto

EngutanK

Member
Joined
May 3, 2021
Posts
99
Reaction score
244
Refa kaikaba Yanga kwa kukataa lile bao halali la Ruvu shooting kwani kona au winga akikimbia na kumaliza uwanja na kutoa cross kwa vyovyote vile bao lile ni halali, vile vile ni kwenye kona, ikipigwa kona haiwezi kuwa offside mbona mpigaji yoko kwenye kibendela ? Refa iliikaba Yanga kwa sababu kwa utamaduni uliozoeleka kwa Yanga kama lile bao Refa angelikubali basi Yanga wangaongeza juhudi mpaka wangesawazisha kwani Ruvu moja kwa moja wangebweteka kulinda hilo bao lao moja na Yangas lazima wangeongeza lingine.

Faisal Salum Abdlallah Feitoto, aliikaba Yanga kwa sababu tangu atoke majeruhi kiwango chake hakijarudi sawasawa basi hasitahili kabisa kucheza hadi mwisho ndiyo maana Ruvu shooting walimiliki eneo la katikati na kwa muda fulani kufanya counter -attack. kwa hiyo bench la ufundi walitakiwa wamfanyie sub lakini amecheza hadi mwisho.

Kichekesho fuatilieni mechi ya Ruvu Shooting inayofuata wataikavyofungwa kirahisi.
 
Yanga walizidiwa nje ya uwanja ata Ile sare tushkuru. Mtaalamu wao alidhamiria Leo kutuaibisha ni ukubwa tu umetubeba.
Nje ya uwanja unamaanisha !!tungulii!!??
 
Refa kaikaba Yanga kwa kukataa lile bao halali la Ruvu shooting kwani kona au winga akikimbia na kumaliza uwanja na kutoa cross kwa vyovyote vile bao lile ni halali, vile vile ni kwenye kona, ikipigwa kona haiwezi kuwa offside mbona mpigaji yoko kwenye kibendela ? Refa iliikaba Yanga kwa sababu kwa utamaduni uliozoeleka kwa Yanga kama lile bao Refa angelikubali basi Yanga wangaongeza juhudi mpaka wangesawazisha kwani Ruvu moja kwa moja wangebweteka kulinda hilo bao lao moja na Yangas lazima wangeongeza lingine.

Faisal Salum Abdlallah Feitoto, aliikaba Yanga kwa sababu tangu atoke majeruhi kiwango chake hakijarudi sawasawa basi hasitahili kabisa kucheza hadi mwisho ndiyo maana Ruvu shooting walimiliki eneo la katikati na kwa muda fulani kufanya counter -attack. kwa hiyo bench la ufundi walitakiwa wamfanyie sub lakini amecheza hadi mwisho.

Kichekesho fuatilieni mechi ya Ruvu Shooting inayofuata wataikavyofungwa kirahisi.
Duh....Ebwanae hapa Umechambua mpira Au Umetueleza hisia zako juu Ya huo mchezo... !

Yaani unataka Refa asingelikataa lile Goli Kwa kuwa Lilikua Halali halafu ndio ingekuwa Kichocheo Cha Yanga Kutafuta Kusawazisha na Kuongeza Lingine..! Ndo unavyohisi Si ndio.

Hizo ni hisia na Kandanda haipo hivyo..hata Ruvu Nao walikuwa Wanazitafuta points 3.
 
Nje ya uwanja unamaanisha !!tungulii!!??
Ivi inakuingia akilini timu ya DAR ipeleke mechi Kigoma Tena kwenye uwanja mbovu na Wana nafasi ya kucheza Kilumba, Azam complex ambapo viwanja viko poa.

Kuna mtu aliwaaminisha anao uwezo wa kumfunga Yanga Kwaiyo mechi ipelekwe Lake Tanganyika.
 
Ivi inakuingia akilini timu ya DAR ipeleke mechi Kigoma Tena kwenye uwanja mbovu na Wana nafasi ya kucheza Kilumba, Azam complex ambapo viwanja viko poa.

Kuna mtu aliwaaminisha anao uwezo wa kumfunga Yanga Kwaiyo mechi ipelekwe Lake Tanganyika.
Hili halina shaka hata kidogo! Shida hapa ni TFF?
 
Timu ilikosa balance katikati ya Simba, kocha katuangusha
 
Back
Top Bottom