Mechi ya marudiano Afrika Kusini, Mamelodi wataendelea kupigiana pasi na golikipa wao?

Mechi ya marudiano Afrika Kusini, Mamelodi wataendelea kupigiana pasi na golikipa wao?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Baada ya Yanga kufanikiwa kudhibiti mbinu ya Mamelodi ya defenders wao muda mwingi kucheza na kipa wao ili kuwavuta Yanga, Mamelo wataendelea na mbinu hii katika mechi ya marudiano huko Pretoria, Afrika Kusini?

Wakibadili mtindo wa uchezaji wao waliouzoea, faida itakuwa kwao au kwa Yanga?

Wakisema wabadili mbinu, muda wa kufanyia mazoezi utawatosha?

Labda niulize, kama Mamelodi wangekuwa na mbinu mbadala, wasingeitumia katika mchezo wao na Yanga baada ya kuona mbinu waliokuwa wanaitumia haiwapi matokeo?

Binafsi naamini katika mchezo ujao, watakuja kivingine kabisa lakini sioni kama watakuwa bora wakija na style mpya ya kucheza na hapa ndio naiona faida kwa Yanga ukiacha ile ya Mamelodi kukosoa goli la ugenini.

Hitimisho
Kwa mtazamo wangu na kwa mshangao wa wengi, Yanga anaeweza kuwatoa Mamelodi kwa mbinu za kiufundi tu za uwanjani plus advantage ya goli la ugenini.
 
Baada ya Yanga kufanikiwa kudhibiti mbinu ya Mamelodi ya defenders wao muda mwingi kucheza na kipa wao ili kuwavuta Yanga, Mamelo wataendelea na mbinu hii katika mechi ya marudiano huko Pretoria, Afrika Kusini?

Wakibadili mtindo wa uchezaji wao waliouzoea, faida itakuwa kwao au kwa Yanga?

Labda niulize, kama Mamelodi wangekuwa na mbinu mbadala, wasingeitumia katika mchezo wao na Yanga baada ya kuona mbinu waliokuwa wanaitumia haiwapi matokeo?

Binafsi naamini katika mchezo ujao, watakuja kivingine kabisa lakini sioni kama watakuwa bora wakija na style mpya ya kucheza na hapa ndio naiona faida kwa Yanga ukiacha ile ya Mamelodi kukosoa goli la ugenini.

Hitimisho
Kwa mtazamo wangu na kwa mshangao wa wengi, Yanga anaeweza kuwatoa Mamelodi kwa mbinu za kiufundi tu za uwanjani plus advantage ya goli la ugenini.
Mamelod ninayoijua Mimi ainaga mbinu mbadala wanapokuwa kwao zaidi ya kukushambulia mwanzo mwisho, wanapenda wacheze mpira kwenye eneo lako na siraha yao kubwa uwa ni viungo wao wa kati kati, kushambulia kupitia pembeni awajazoea mfumo huo unawasumbua kwa maana iyo awatokuwa na option nyingine zaidi ya kile wanachokiamini na kukifanyia mazoezi miaka yote ambapo roho yao ni kwenye kiungo, ukiwakamata hapo umemaliza kazi, ndio maana Jana waliposhindwa kupitia katikati walianza kupiga mipira mirefu ambayo aikuwa na madhara kwa yanga, kwa maana iyo pale Pretoria Kuna jambo linaenda kutokea litakaloacha watu na mshangao tusubili tuone!
 
Baada ya Yanga kufanikiwa kudhibiti mbinu ya Mamelodi ya defenders wao muda mwingi kucheza na kipa wao ili kuwavuta Yanga, Mamelo wataendelea na mbinu hii katika mechi ya marudiano huko Pretoria, Afrika Kusini?

Wakibadili mtindo wa uchezaji wao waliouzoea, faida itakuwa kwao au kwa Yanga?

Labda niulize, kama Mamelodi wangekuwa na mbinu mbadala, wasingeitumia katika mchezo wao na Yanga baada ya kuona mbinu waliokuwa wanaitumia haiwapi matokeo?

Binafsi naamini katika mchezo ujao, watakuja kivingine kabisa lakini sioni kama watakuwa bora wakija na style mpya ya kucheza na hapa ndio naiona faida kwa Yanga ukiacha ile ya Mamelodi kukosoa goli la ugenini.

Hitimisho
Kwa mtazamo wangu na kwa mshangao wa wengi, Yanga anaeweza kuwatoa Mamelodi kwa mbinu za kiufundi tu za uwanjani plus advantage ya goli la ugenini.
Good thinking
 
Tanzania Yangu.

Ni mpira Muda wote

Somba na yanga simba na Yanga always.

KWAHERI UKOLONI KWAHERI UHURU
 
Mamelod ninayoijua Mimi ainaga mbinu mbadala wanapokuwa kwao zaidi ya kukushambulia mwanzo mwisho, wanapenda wacheze mpira kwenye eneo lako na siraha yao kubwa uwa ni viungo wao wa kati kati, kushambulia kupitia pembeni awajazoea mfumo huo unawasumbua kwa maana iyo awatokuwa na option nyingine zaidi ya kile wanachokiamini na kukifanyia mazoezi miaka yote ambapo roho yao ni kwenye kiungo, ukiwakamata hapo umemaliza kazi, ndio maana Jana waliposhindwa kupitia katikati walianza kupiga mipira mirefu ambayo aikuwa na madhara kwa yanga, kwa maana iyo pale Pretoria Kuna jambo linaenda kutokea litakaloacha watu na mshangao tusubili tuone!
True what you're talking bro..
IMG_20240401_092455.jpg
 
Binafsi naona hii game bado ni ngumu kwa pande zote, game inaweza kumalizika kwa penati kama Yanga atacheza hivi hivi game ya marudiano.

Binafsi huwa nawakubali Waarabu mfano Al alhly, Wydad na Raja kwa kuwa na mbinu mbadala za kutafuta goli tofauti na nilivyowaona Mamelod. Kwa mfano, Waarabu wana wachezaji warefu wakiona kupita katikati kwa mipira ya chini pamekuwa pagumu wanaanza hata kutumia mipira ya juu mfano krosi na kudumbukiza pale katikati ambapo mabeki wanaweza kujichanganya na kusababisha hata penati. Ni kazi sana kuokoa mipira ya juu. Hicho kitu sikukiona kwa Mamelod.

Kubadilika mfumo kunategemeana na wachezaji ulionao. Mamelod alifanya kila aina ya sub na ni mchezaji mmoja tu ndio hakuwepo naye ni Themba Zwane.

Inawezekana baada ya game ya Yanga, viongozi wa Mamelod wakabaini kocha wao na benchi la ufundi hawana mbinu mbadala za kuishinda timu inayocheza kwa kupaki basi na kushambulia kwa kushtukiza.
 
Baada ya Yanga kufanikiwa kudhibiti mbinu ya Mamelodi ya defenders wao muda mwingi kucheza na kipa wao ili kuwavuta Yanga, Mamelo wataendelea na mbinu hii katika mechi ya marudiano huko Pretoria, Afrika Kusini?

Wakibadili mtindo wa uchezaji wao waliouzoea, faida itakuwa kwao au kwa Yanga?

Wakisema wabadili mbinu, muda wa kufanyia mazoezi utawatosha?

Labda niulize, kama Mamelodi wangekuwa na mbinu mbadala, wasingeitumia katika mchezo wao na Yanga baada ya kuona mbinu waliokuwa wanaitumia haiwapi matokeo?

Binafsi naamini katika mchezo ujao, watakuja kivingine kabisa lakini sioni kama watakuwa bora wakija na style mpya ya kucheza na hapa ndio naiona faida kwa Yanga ukiacha ile ya Mamelodi kukosoa goli la ugenini.

Hitimisho
Kwa mtazamo wangu na kwa mshangao wa wengi, Yanga anaeweza kuwatoa Mamelodi kwa mbinu za kiufundi tu za uwanjani plus advantage ya goli la ugenini.
Ulichosema kwny hitimisho ndio kitakachotokea, Nashangaa watu waliogopa sana.
 
Kama Yanga nae atafunguka game inaweza kua ya tofauti......ila asiingie kwenye huo mtego ikiwezekana aende tu na hii mbinu ya kupark bus na akipata nafasi azitumie vizuri, ukisema ufunguke kwa hawa wasauz naona madhara yatakua makubwa
 
Sisi makolo ngoja tujifariji Kwa maneno haya
JamiiForums-1701649393.jpg
 
Baada ya Yanga kufanikiwa kudhibiti mbinu ya Mamelodi ya defenders wao muda mwingi kucheza na kipa wao ili kuwavuta Yanga, Mamelo wataendelea na mbinu hii katika mechi ya marudiano huko Pretoria, Afrika Kusini?

Wakibadili mtindo wa uchezaji wao waliouzoea, faida itakuwa kwao au kwa Yanga?

Wakisema wabadili mbinu, muda wa kufanyia mazoezi utawatosha?

Labda niulize, kama Mamelodi wangekuwa na mbinu mbadala, wasingeitumia katika mchezo wao na Yanga baada ya kuona mbinu waliokuwa wanaitumia haiwapi matokeo?

Binafsi naamini katika mchezo ujao, watakuja kivingine kabisa lakini sioni kama watakuwa bora wakija na style mpya ya kucheza na hapa ndio naiona faida kwa Yanga ukiacha ile ya Mamelodi kukosoa goli la ugenini.

Hitimisho
Kwa mtazamo wangu na kwa mshangao wa wengi, Yanga anaeweza kuwatoa Mamelodi kwa mbinu za kiufundi tu za uwanjani plus advantage ya goli la ugenini.
Mamelodi ashatoka,
South Tunaenda kukamilisha ratiba tu
 
Back
Top Bottom