Mechi ya marudiano Afrika Kusini, Mamelodi wataendelea kupigiana pasi na golikipa wao?

yanga ana 60%/100% ya kutoboa nusu fainali...kocha wa mamelodi anajikaza tu ila kimoyo moyo anajua goma bichi kabisa hili
 
Yani vile vitisho vya wiki nzima ubuntu botho ubuntu botho nikawa najiuliza hii ubuntu botho ni nini.....kumbe ni mpira wa triangle tu kupiga piga pasi kwa kipa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…