Mzee Wa Kazi Chafu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2022
- 2,245
- 4,966
Wakuu
Nimeshindwa kabisa kuwa na amani, hii mechi ya marudiano na Raja pale kwenye dimba la Mohammed V Morocco inaninyima kabisa usingizi.
Kila nikikumbuka zile thalatha walizotupiga tukiwa full house hapo lupaso pia nikikumbuka bado tuna mechi ya marudiano tena kwao nanyong'onyea mpaka miguu inaisha nguvu.
Kimahesabu tutakuwa tayari tumeshafuzu quarter finals maana Horoya hana pa kutokea lazima avute pumzi ya moto, lakini kuhusu Raja haya mambo mimi naona kama yana zungumzika.
Tunaweza kukaa chini tukayazungumza sio lazima mpaka tuaibishane kiasi hicho tusifike huko bhna.
Nguvu moja [emoji881]
Wakuu
Nimeshindwa kabisa kuwa na amani, hii mechi ya marudiano na Raja pale kwenye dimba la Mohammed V Morocco inaninyima kabisa usingizi.
Kila nikikumbuka zile thalatha walizotupiga tukiwa full house hapo lupaso pia nikikumbuka bado tuna mechi ya marudiano tena kwao nanyong'onyea mpaka miguu inaisha nguvu.
Kimahesabu tutakuwa tayari tumeshafuzu quarter finals maana Horoya hana pa kutokea lazima avute pumzi ya moto, lakini kuhusu Raja haya mambo mimi naona kama yana zungumzika.
Tunaweza kukaa chini tukayazungumza sio lazima mpaka tuaibishane kiasi hicho tusifike huko bhna.
Nguvu moja [emoji881]
Wakuu
Nimeshindwa kabisa kuwa na amani, hii mechi ya marudiano na Raja pale kwenye dimba la Mohammed V Morocco inaninyima kabisa usingizi.
Kila nikikumbuka zile thalatha walizotupiga tukiwa full house hapo lupaso pia nikikumbuka bado tuna mechi ya marudiano tena kwao nanyong'onyea mpaka miguu inaisha nguvu.
Kimahesabu tutakuwa tayari tumeshafuzu quarter finals maana Horoya hana pa kutokea lazima avute pumzi ya moto, lakini kuhusu Raja haya mambo mimi naona kama yana zungumzika.
Tunaweza kukaa chini tukayazungumza sio lazima mpaka tuaibishane kiasi hicho tusifike huko bhna.
Nguvu moja [emoji881]
Wakuu
Nimeshindwa kabisa kuwa na amani, hii mechi ya marudiano na Raja pale kwenye dimba la Mohammed V Morocco inaninyima kabisa usingizi.
Kila nikikumbuka zile thalatha walizotupiga tukiwa full house hapo lupaso pia nikikumbuka bado tuna mechi ya marudiano tena kwao nanyong'onyea mpaka miguu inaisha nguvu.
Kimahesabu tutakuwa tayari tumeshafuzu quarter finals maana Horoya hana pa kutokea lazima avute pumzi ya moto, lakini kuhusu Raja haya mambo mimi naona kama yana zungumzika.
Tunaweza kukaa chini tukayazungumza sio lazima mpaka tuaibishane kiasi hicho tusifike huko bhna.
Nguvu moja [emoji881]
Wakuu
Nimeshindwa kabisa kuwa na amani, hii mechi ya marudiano na Raja pale kwenye dimba la Mohammed V Morocco inaninyima kabisa usingizi.
Kila nikikumbuka zile thalatha walizotupiga tukiwa full house hapo lupaso pia nikikumbuka bado tuna mechi ya marudiano tena kwao nanyong'onyea mpaka miguu inaisha nguvu.
Kimahesabu tutakuwa tayari tumeshafuzu quarter finals maana Horoya hana pa kutokea lazima avute pumzi ya moto, lakini kuhusu Raja haya mambo mimi naona kama yana zungumzika.
Tunaweza kukaa chini tukayazungumza sio lazima mpaka tuaibishane kiasi hicho tusifike huko bhna.
Nguvu moja [emoji881]
Wakuu
Nimeshindwa kabisa kuwa na amani, hii mechi ya marudiano na Raja pale kwenye dimba la Mohammed V Morocco inaninyima kabisa usingizi.
Kila nikikumbuka zile thalatha walizotupiga tukiwa full house hapo lupaso pia nikikumbuka bado tuna mechi ya marudiano tena kwao nanyong'onyea mpaka miguu inaisha nguvu.
Kimahesabu tutakuwa tayari tumeshafuzu quarter finals maana Horoya hana pa kutokea lazima avute pumzi ya moto, lakini kuhusu Raja haya mambo mimi naona kama yana zungumzika.
Tunaweza kukaa chini tukayazungumza sio lazima mpaka tuaibishane kiasi hicho tusifike huko bhna.
Nguvu moja [emoji881]
Wale sio wanampira mkubwa sana hata ukiangali team km mamelod, sijui es tunis na myingine unaona mpira wa raja bado mkubwa sana.Wakuu
Nimeshindwa kabisa kuwa na amani, hii mechi ya marudiano na Raja pale kwenye dimba la Mohammed V Morocco inaninyima kabisa usingizi.
Kila nikikumbuka zile thalatha walizotupiga tukiwa full house hapo lupaso pia nikikumbuka bado tuna mechi ya marudiano tena kwao nanyong'onyea mpaka miguu inaisha nguvu.
Kimahesabu tutakuwa tayari tumeshafuzu quarter finals maana Horoya hana pa kutokea lazima avute pumzi ya moto, lakini kuhusu Raja haya mambo mimi naona kama yana zungumzika.
Tunaweza kukaa chini tukayazungumza sio lazima mpaka tuaibishane kiasi hicho tusifike huko bhna.
Nguvu moja [emoji881]
Usiwe na shaka, Simba atalinda heshma yake Morocco. Utaiona Simba ambayo haujawahi kuiona kwa muda mrefu.
Niliwahi kwenda Misri juzi juzi na katika pita pita zangu mitaani nilikuwa najitambulisha kama mwanasimba. Wakawa wanafurahi wakikumbuka tulichowafanyia Zamalek miaka ile.
Usiumize kichwa bure hao wapo nafasi ya tatu wamewekeza pesa nyingi sana hapo, kwa hiyo tufike level hizo lazima tuwekeze hata robo tatu yao ndio tupambane nao! Yote kwa yote huu ni mpira lakini kiuhalisi Raja wako mbali zaidi ya Simba!Mkuu hawa ni Raja wanaotaka sifa, na sipati picha kama wale mashabiki wao wata ruhusiwa uwanjani full house
Upo sahihi mkuuUsiumize kichwa bure hao wapo nafasi ya tatu wamewekeza pesa nyingi sana hapo, kwa hiyo tufike level hizo lazima tuwekeze hata robo tatu yao ndio tupambane nao! Yote kwa yote huu ni mpira lakini kiuhalisi Raja wako mbali zaidi ya Simba!
Ni lazima kwenye ukweli tuuseme, hii ni club bingwa sio shirikisho, ni mashindano makubwa kwa ngazi ya vilabu barani Afrika! Simba kufika ngazi ulikua ni mchakato, ndio maana Simba kuingia hatua ya makundi Club Bingwa haikua issue saaana kwa kuwa walishajipambua kuvuka hizo ngazi za makundi!Usiumize kichwa bure hao wapo nafasi ya tatu wamewekeza pesa nyingi sana hapo, kwa hiyo tufike level hizo lazima tuwekeze hata robo tatu yao ndio tupambane nao! Yote kwa yote huu ni mpira lakini kiuhalisi Raja wako mbali zaidi ya Simba!
Mpira unadunda sehemu yeyote, hii simba inaweza ikawa shangaza,, tutampiga mtu hamsa hamtaamini.Kuna ndoto naiota Mgunda anamnong'oneza Robertinho, "Au tumwambie Inonga achukue mpira tukimbie......!" Halafu Robertinho naye anatoa tu macho kumbe hajui kiswahili"
umejibu vizuriNikiwa kama shabiki anayeitakia mema timu yake
Upo sahihi mkuu, nimewaangalia mamelodi jana kwa pamoja na al ahly,, wote hawana mpira wa kumfikia Raja, kwa kifupi Raja ana nafasi kubwa sana ya kubeba ndoo msimu huu.Wale sio wanampira mkubwa sana hata ukiangali team km mamelod, sijui es tunis na myingine unaona mpira wa raja bado mkubwa sana.
Ila kuna cha kujifunza sana.
Bigwa bigwa tu.