Okwi alishawaduwaza Tunisia pia ,Kikosii kitapangwa hivi ..Golini Manula, Kapombe, ,Zimbwe,Kennedy,Onyango,Baka,Kanoute,Nyoni,Muzamiri,Kibu,Saidoo,Usiwe na shaka, Simba atalinda heshma yake Morocco. Utaiona Simba ambayo haujawahi kuiona kwa muda mrefu.
Niliwahi kwenda Misri juzi juzi na katika pita pita zangu mitaani nilikuwa najitambulisha kama mwanasimba. Wakawa wanafurahi wakikumbuka tulichowafanyia Zamalek miaka ile.
Hapo Hawatoboi..Kanoute akitolewa Kwa Kadi nyekundu anaingua Phiri!😁