Hata hivyo mleta mada ana point,haiwezekani wale waandishi wanaojiona nguli wa michezo,mpka mashindano yanaisha jawajaandika sana,kiukweli bila kuwapa taarifa za kuwahamasisha hawa wadogo zetu tutaishia kuwa wasindikizaji tu!!
Ilikuwa "classical fainal" Hayo ni maneno ya Mpenja.Yaani ulichezwa mpira wa kitabuni. Sasa wewe mtoa hoja huko korea hatuna under20 wa Tanzania tukamtazame nani?