Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
- Thread starter
- #21
Ndiooooooooooo mkuu umenielewa sawia.Hata hivyo mleta mada ana point,haiwezekani wale waandishi wanaojiona nguli wa michezo,mpka mashindano yanaisha jawajaandika sana,kiukweli bila kuwapa taarifa za kuwahamasisha hawa wadogo zetu tutaishia kuwa wasindikizaji tu!!