Hivi mlikuwa Uturuki kweli? Mnacheza mpira wa ovyo sana! Ligi hii itakuwa ngumu kwenu tofauti na msimu uliopita!Tumeanza Kulamba Ngao! Sasahivi Tunasubiri VPL tuchukue Kombe Ndani Ya Mzunguko Wa Kwanza
Nimeona tangazo lenu Azam tv mkitembeza bakuliHivi mlikuwa Uturuki kweli? Mnacheza mpira wa ovyo sana! Ligi hii itakuwa ngumu kwenu tofauti na msimu uliopita!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata msimu uliopita mlisema hivo huku mkijinasubu tumetangulia na baiskeli ya miti na mnafukuza mwizi kimya kimyaHivi mlikuwa Uturuki kweli? Mnacheza mpira wa ovyo sana! Ligi hii itakuwa ngumu kwenu tofauti na msimu uliopita!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mlikuwa Uturuki kweli? Mnacheza mpira wa ovyo sana! Ligi hii itakuwa ngumu kwenu tofauti na msimu uliopita!
Sent using Jamii Forums mobile app
HaswaaaTumeanza Kulamba Ngao! Sasahivi Tunasubiri VPL tuchukue Kombe Ndani Ya Mzunguko Wa Kwanza
hata kama ingekua kaniki bado tungechukuaKijingao cha bongo si ndio kile kijiubao kilichopigwa polish chenye maandishi
Sent using Jamii Forums mobile app
duuhMshapigwa mbili mtibwa-yanga
vichekesho vya msimu hiviHaji Manara anakuambia target ya Simba ni kuchukua ubingwa wa league back to back mara 5 ndio kidogo wafikirie kuachia team nyingine
Sent using Jamii Forums mobile app