Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngapi ngapi jamani?
Kama kawaida yangu mdau wenu nitakuwa live kuwaletea masimulizi ya mechi kali kati ya mnyama Simba SC na Yanga SC, uwanja wa Taifa leo katika mechi ya ngao ya hisani.
Nitawaletea masimulizi kabda na baada ya mechi.
======
16:15; Timu zote mbili zimeshafika uwanja wa taifa na tayari wachezaji wa Simba wameingia kiwanjani kupasha misuli, mechi inatarajiwa kuanza majira ya saa 11 jioni.
16:24; Timu ya Yanga nayo imeingia kiwanjani kupasha misuli
16:28; Shadrack Nsajigwa(Kocha msaidizi Yanga); Kikosi chetu kiko vizuri na hatuna majeruhi, Yanga tutegemee ushindi.
=====
00' Mwamuzi kapuliza kipyenga kuashiria mwanzo wa mchezo, Yanga 0-0 Simba.
02' Yanga wanapata mpira wa kwanza wa adhabu ndogo kuelekea lango la Simba na kuzaa mpira wa kona.
07' Yanga wanapata kona ya pili, Aishi Manula anaipangua kuitoa kwenye hatari.
Kikosi cha Simba Mnyaka kitakachoanza leo Vs Yanga SC
Aishi Manula, Ally Shomari, Erasto Nyoni, Salim Mbonde, Method Mwanjale, James Kotei, Shiza Kichuya, Mzamiru Yassin, Laudit Mavugo, Emmanuel Okwi na Haruna Niyonzima
Ndo ume quote 'uzi wote ili uandike upuuzi wako huu!!? Lione!Na hii Vilaza Fc.( S) watakuja kukanusha!
Ukikua utaachaDuh! Hata hawaombolezi kushikwa na kuminywa kwa Tundu lisu? Jamaa kaminywa sasa hivi yuko hoi!
Nusu uwanja hii.
Nani wanacheza nusu uwanja mkuu.....??
Wengine tupo mbali na viona mbali.....
Kuna dakika kadhaa mpira ulichezea upande wa Yanga, ila sasa umebalance.
Asante mkuu maana sisi wana Yanga diclopar na glucose havipo mbali na sisi....