[emoji3][emoji3][emoji3] na raia wengi hawakuwaza namna yakurudi ukiwa umefungwa....!!!! Na sijui uko kwa treni itakuwaje maana lazima wazichape wakati wakurudiNawahurumia sana mashabiki wa timu itakayofungwa hiyo kesho
Tatizo linakuja wakati wa kurudi dar
Yaani umbali unakuwa unauona mara mbili zaidi[emoji23][emoji23][emoji23] hapo taifa tu kuitafuta kigamboni napaona kama Arusha nikifungwa [emoji23][emoji23][emoji23] sembuse kigoma
Ni Bora sisi wa kwenye tv nikifungwa nazma nalala
Madilu aliisha toa mwelekeo.... Timu itakayofungwa mashabiki wake wahamie Burundi, ...Timu itakayoshinda mashabiki wake itabidi wafanye sherehe kwenye treni siku tatu kabla ya kufika Dar.[emoji3][emoji3][emoji3] na raia wengi hawakuwaza namna yakurudi ukiwa umefungwa....!!!! Na sijui uko kwa treni itakuwaje maana lazima wazichape wakati wakurudi
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] acha uchawi mwananguyani tension imekua kubwa watu hadi wanachukiana kisa mpira badala iwe ni symbol ya upendo ila simba kisaikologia wameishafungwa manake ndio wanaonekana kupaniki zaidi
Naona huu uzi me nimejichanganya kukocommet maana ni uzi wa utopolo[emoji3][emoji3][emoji3]Yaani kesho simba anaenda kutandikwa na kipigo cha mbwa koko!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sasa wakipanda treni moja walahi wanatandikana.... Maana burundi hakuendekiMadilu aliisha toa mwelekeo.... Timu itakayofungwa mashabiki wake wahamie Burundi, ...Timu itakayoshinda mashabiki wake itabidi wafanye sherehe kwenye treni siku tatu kabla ya kufika Dar.
bila yule pumbavu kupewa kadi nyekundu tulikua tunashinda hii[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] acha uchawi mwanangu
Chanzo ni yule Boko Haram!! Ngoja msimu ujao tumsajili yule mbabe wake Juma Nyoso ili awe anamshughulikia yeye tu wakati wa mechi!bila yule pumbavu kupewa kadi nyekundu tulikua tunashinda hii
Subutu leo tuliwazidi maarifa mkuu! Tangu game imeanza tulionyesha uwezo this is simba mkuu.... Mpili nasikia kalazwa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]bila yule pumbavu kupewa kadi nyekundu tulikua tunashinda hii