Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Mimi ni Yanga na niwe wazi tu siuungi mkono maamuzi mabovu ya Waamuzi na huwa najiuliza ni hatua gani huchukuliwa kwa waamuzi wanaofanya maamuzi mabovu?
Binafsi ndio maana siku zote mimi huwa naunga mkono mstumizi ya VAR ingawa kuna watu wanapinga halafu watu hao hao wanalalamika maamuzi mabovu ya waamuzi kwenye ligi yetu.
Tukirudi kwenye mada, mechi ya juzi ya Simba na Azam, hakukuwa na maamuzi mabovu ya pande zote kunyimwa penalti?
Kama maamuzi yale uliyaunga mkono, basi huna haki ya kuhoji wala kulalamiikia maamuzi ya Mechi ya leo baina ya Yanga na Geita Gold.
Ukipenda boga, penda na ua lake.
TFF huu ujinga katika soka letu ufike mwisho. Inaboa sana.
Kama waamuzi hawana viwango, wapigwe chini.
Tumechoka.
Binafsi ndio maana siku zote mimi huwa naunga mkono mstumizi ya VAR ingawa kuna watu wanapinga halafu watu hao hao wanalalamika maamuzi mabovu ya waamuzi kwenye ligi yetu.
Tukirudi kwenye mada, mechi ya juzi ya Simba na Azam, hakukuwa na maamuzi mabovu ya pande zote kunyimwa penalti?
Kama maamuzi yale uliyaunga mkono, basi huna haki ya kuhoji wala kulalamiikia maamuzi ya Mechi ya leo baina ya Yanga na Geita Gold.
Ukipenda boga, penda na ua lake.
TFF huu ujinga katika soka letu ufike mwisho. Inaboa sana.
Kama waamuzi hawana viwango, wapigwe chini.
Tumechoka.