Sawa tumebebwa je ndio inahalalisha wewe kubebwa.
Acheni unafiki wenu maana hata nyie mmebebwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni unafiki wenu maana hata nyie mmebebwa sana
Hakuna mpigania haki hapo huyo hajapata fursa tu yakupiga.Huyu jamaa nilkuwa namwaminia sana,kumbe nae akipewa fursa atatupiga tu,yana anashindwa kuwakemea wanautopolo wenzake
Uyu jamaa kipind cha kupanga juhud za jiwe,alikuwa analaani sana kitendo hicho,ila leo anaunga mkono utopolo kupewa penati ya nje ya box,kajificha kwenye mechi za nyuma,ushabiki mandazHakuna mpigania haki hapo huyo hajapata fursa tu yakupiga.
Marefa wa kubalansi gender. Jana refa kachanganyikiwa mpaka kashindwa kujua Nani alianzisha mpira kipindi cha Kwanza kipindi cha pili kinaanza anataka Yanga waanzishe tena wakati ndio walioanzisha Mechi. Kabalansi Kwa kutompa Kagoma Kadi nyekundu Kwa kumrukia Kibwana kisa alikuwa amewapa Yanga penati iliyostahili.Bora hapo aliona amekosea kutompa Azam akaja akabalance na Simba ilipokosea. So wote walinyimwaaa loose loose situation [emoji38] [emoji38]
Ni bora kukataa goli halali kuliko kuruhusu goli lisilo halalli.Mimi ni Yanga na niwe wazi tu siuungi mkono maamuzi mabovu ya Waamuzi na huwa najiuliza ni hatua gani huchukuliwa kwa waamuzi wanaofanya maamuzi mabovu?
Binafsi ndio maana siku zote mimi huwa naunga mkono mstumizi ya VAR ingawa kuna watu wanapinga halafu watu hao hao wanalalamika maamuzi mabovu ya waamuzi kwenye ligi yetu.
Tukirudi kwenye mada, mechi ya juzi ya Simba na Azam, hakukuwa na maamuzi mabovu ya pande zote kunyimwa penalti?
Kama maamuzi yale uliyaunga mkono, basi huna haki ya kuhoji wala kulalamiikia maamuzi ya Mechi ya leo baina ya Yanga na Geita Gold.
Ukipenda boga, penda na ua lake.
TFF huu ujinga katika soka letu ufike mwisho. Inaboa sana.
Kama waamuzi hawana viwango, wapigwe chini.
Tumechoka.