Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
Najua mlioangalia game kwa TV kuna matukio hamkuoneshwa acha niwaibie kidogo;
Inonga na Ntiba, ndio walikua waamuzi wa game (wazee wa hesabu na namba). Kwanza wote hawakupiga picha za pamoja (picha ya kikosi) sababu kila mtu alikua anamtegea mwenzie nani awe wa mwisho kuingia
Pili Inonga akaingilia upande wa Yanga halafu akahype mashabiki lakini second half Ntiba akalipa japo Inonga alisahau akafanywa kukumbushwa na BM. Ngoma ikalala sare wataalmu wa mambo wanasema mzani ulibalance
Full time Yanga 0-0 Simba
Credit: @PresenterNoah
Inonga na Ntiba, ndio walikua waamuzi wa game (wazee wa hesabu na namba). Kwanza wote hawakupiga picha za pamoja (picha ya kikosi) sababu kila mtu alikua anamtegea mwenzie nani awe wa mwisho kuingia
Pili Inonga akaingilia upande wa Yanga halafu akahype mashabiki lakini second half Ntiba akalipa japo Inonga alisahau akafanywa kukumbushwa na BM. Ngoma ikalala sare wataalmu wa mambo wanasema mzani ulibalance
Full time Yanga 0-0 Simba
Credit: @PresenterNoah