kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Kila mtu alishangaa timu kwa mara ya Kwanza inafunga MTU goli 4 baada ya mfululizo wa sare, goli moja mwisho 2 tena Kwa taaabu sana. Kumbe kuna namna!
Kila mtu alishangaa inakuwaje siku stars inacheza mtu anapanga mechi ya kirafiki fasta fasta chap chap bila kufuata kanuni, kumbe iko namna bhana
Kila mtu atashangaa kwanini Takukuru haijashika mtu hadi sasa tunavyoongea.
Kila mtu anashangaa kwanini tffc inanyamazia uhalifu wa aina Ile.
Ni tetesi tu
Kila mtu alishangaa inakuwaje siku stars inacheza mtu anapanga mechi ya kirafiki fasta fasta chap chap bila kufuata kanuni, kumbe iko namna bhana
Kila mtu atashangaa kwanini Takukuru haijashika mtu hadi sasa tunavyoongea.
Kila mtu anashangaa kwanini tffc inanyamazia uhalifu wa aina Ile.
Ni tetesi tu