Haupo Stars mkuu?Raia wa Tunisia tujuane mapema
Arabic Kim Jong[emoji3][emoji3]Raia wa Tunisia tujuane mapema
Azam wenyewe wanaoonesha hiyo mechi wamesema mechi itaanza saa 4, acha kudanganya umma.Kuna mkanganyiko wa baadhi ya websites kuhusu mechi ya leo kuhusu muda utakapochezwa mchezo wa taifa stars na Tunisia, wengine wameandika saa nne usiku wengine saa mbili usiku, uhalisia ni mechi itaanza saa mbili kamili usiku, karibuni kwa updates za uhakika
====
Fuatilia vizuri asee.Hadi TFF wenyewe washaweka saa nneKuna mkanganyiko wa baadhi ya websites kuhusu mechi ya leo kuhusu muda utakapochezwa mchezo wa taifa stars na Tunisia, wengine wameandika saa nne usiku wengine saa mbili usiku, uhalisia ni mechi itaanza saa mbili kamili usiku, karibuni kwa updates za uhakika
====
Ndio ndioArabic Kim Jong[emoji3][emoji3]
Tunisia 2 - Mazwazwa 0Haupo Stars mkuu?
Fuatilia vizuri asee.Hadi TFF wenyewe washaweka saa nne
Kama unatumia mfumo wa masaa 24 huwa hakuna AM na PM. Kwa Military clock ingepaswa kuwa 20:00 ama 20:00hrs.Kuna mkanganyiko wa baadhi ya websites kuhusu mechi ya leo kuhusu muda utakapochezwa mchezo wa taifa stars na Tunisia, wengine wameandika saa nne usiku wengine saa mbili usiku, uhalisia ni mechi itaanza saa mbili kamili usiku, karibuni kwa updates za uhakika
====
Mwanamberu bwana, we si ni mzaramu wa Kimanzinchana wewe, huo uraia wa Tunisia umeupata lini wakati hujawahi toka nje ya nchi hata siku moja.Raia wa Tunisia tujuane mapema
Wakizungumza na waandishi wa habari jana, viongozi wa BMT na TFF wakiwa na wajumbe wa Kamati ya Ushindi walithibitisha kuwa mchezo kati ya Taifa Stars na Tunisia utachezwa kuanzia saa 4.00 za usiku, kwa mujibu wa maelekezo ya CAF yanayozingatia Haki za Matangazo ya TV ( TV rights ).Kuna mkanganyiko wa baadhi ya websites kuhusu mechi ya leo kuhusu muda utakapochezwa mchezo wa taifa stars na Tunisia, wengine wameandika saa nne usiku wengine saa mbili usiku, uhalisia ni mechi itaanza saa mbili kamili usiku, karibuni kwa updates za uhakika
====