Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi tupo kwenye hali gani ya kukaribia kufuzu au bado safari ya matumaini haieleweki
Tunazo point 3 mkuu, tumepoteza dhidi ya Libya na Tunisia wale wengina tuliwapiga 2-1 hapa nyumbani tukishinda tunafufua matumainiBado hatuna hata point tuwaombe tu hawa waarabu watuachie game maana wao wameshinda michezo yote
Ndio mkuu ila litimu lenu Tanzania lazima lipigwe na sisi TunisiaAzamTv wataonyesha?
Acha uongoBado hatuna hata point tuwaombe tu hawa waarabu watuachie game maana wao wameshinda michezo yote
Mpk sasa saa 3 bado hujaanza taarifa yako sio makini Tanzania tujuane pleasKuna mkanganyiko wa baadhi ya websites kuhusu mechi ya leo kuhusu muda utakapochezwa mchezo wa taifa stars na Tunisia, wengine wameandika saa nne usiku wengine saa mbili usiku, uhalisia ni mechi itaanza saa mbili kamili usiku, karibuni kwa updates za uhakika
====
Kama una mb za kutosha, fuatilia kupitia hiyo linkBei Facebook anmelden
Melde dich bei Facebook an, um dich mit deinen Freunden, deiner Familie und Personen, die du kennst, zu verbinden und Inhalte zu teilen.l.facebook.com
Pamoja sana, kila la kheri watunisi.Raia wa Tunisia tujuane mapema
Jaribu kuwa mzalendo bwashee!Tunisia ebu tandika hao nguruwe fc 3 bila ili wananchi kesho tuingie maofisin kwa raha mustarehe...
Wewe acha unoko!Pamoja sana, kila la kheri watunisi.
Usahihi UMESHAPIGWATumeshapigwa moja asee