Mechi ya taifa stars vs Tunisia 17/11/2020 kuchezwa saa 20:00Pm, karibu kwa updates

Mashabiki wenzangu wa Tunisia, mmusiwe na wasiwaai,,,,ushindi upo

Sisi Tunisia 3-0 wao Tanzania
 
Tukiifunga Tunisia usiku huu ni bahati hatuna uwezo/kiwango cha kushandana na Tunisia.
 
Mpk sasa saa 3 bado hujaanza taarifa yako sio makini Tanzania tujuane pleas
 
Hivi hii taifa stars ina kocha kweli? Dah, yaani wachezaji hawana maelewano kabisa, hawajiamini hawajitumi yaani wanakimbia kimbia tu uwanjani
 
Goli la mapema wanja la Benjamin Mkapa
Tunisia inaongoza 1 goli la kustukiza, uwanjani waTanzania . Aggregate 2 . Dakika ya 22 mchezo unaendelea live:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…