Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaahah unapenda tuaibike tuAcha uoga
OctoberMim Ni mzalaendo wa michezo Tanzania,nataka nijue sku ya hii mech mhim. Karbun
Bora tuwape tu ushindi wa mezani hao Uganda wa kusonga mbele. Nani anataka presha za akina Kibu Denis!!
Kwani na yale manundu ya kule Misri kwenye pre season yenu, nayo yameishia wapi? Au mnafikiri hatufahamu kama Waarab waliwatandika pia goli 2 -0?Vp yale manundu ya vipers yameshapona
Ilikua ni pre season, nyie sasa kwenye sikukuu yenu. LolKwani na yale manundu ya kule Misri kwenye pre season yenu, nayo yameishia wapi? Au mnafikiri hatufahamu kama Waarab waliwatandika pia goli 2 -0?
Hata kama ni siku yetu. Ila bado inaangukia kwenye pre season. Ligi bado haijaanza.Ilikua ni pre season, nyie sasa kwenye sikukuu yenu. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sherehe ili ingiliwa na mamluki.Hata kama ni siku yetu. Ila bado inaangukia kwenye pre season. Ligi bado haijaanza.
JoblessMimi ni mzalaendo wa michezo Tanzania, nataka nijue siku ya hii mechi muhimu. Karibuni