Mechi ya Ujerumani dhidi ya Japan inaanza saa ngapi kwa masaa ya hapa Tanzania?

Mechi ya Ujerumani dhidi ya Japan inaanza saa ngapi kwa masaa ya hapa Tanzania?

44mg44

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2019
Posts
2,158
Reaction score
2,186
Nina shauku sana ya kwenda kuwaangalia Wajerumani wakiwa wanamfunga mtu!

Hii mechi kali na muhimu inaanza saa ngapi wadau?
 
Saa moja kamili mkuu, Qatar na TZ time zone ni moja +3
 
Game linaanza saa kumi,nshapata jibu tayar wadau, nawashukuru kwa kushiriki
 
Nina shauku Sana ya kwenda kuwaangalia Wajerumani wakiwa wanamfunga mtu!!

Hii mech Kali na muhim inaanza saa ngap wadau??
Kijana download flashscore inakupa masaa ya Tanganyika aka EA na Unguja ikiwemo Unguja kwa mechi zote za soka duniani. Utakuja kunishuku siku moja.
 
Back
Top Bottom