Mechi ya Yanga FC Vs Mediama - Uwanja wa Taifa, Dar 16 July 2016

Hawa Yanga na mashaka kama watashinda hii game kama wakiendelea kucheza hivi...
 
Yanga wanakosa bao la wazi hapa dk ya 35 chilwa mkosaji
 
Nafasi kama hizi huwa hazipatikani kila wakati
 
super sports , channel ya Select 2 wapo live pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…