Mechi ya Yanga FC Vs TP Mazembe - Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

Yaaani wakipata goli Mazembe tu japo moko Yeboyebo mmeumia Yanga 1 Mazembe 1.5
Yanga wamedominate mpira kwa dakika za mwanzo ila sasa mazembe nao wameanza kushambulia.!
 
Mimi namshangilia Ulimwengu leo....kina Kamusoko sio Watz
 
Yanga wangekuwa wamevaa jezi ya timu ya Taifa ningewashingilia; Mbwatukaji Muro - O, Tupisa Mazembe Englebee - 5.
 
mmelipiwa na manji bado mnaishangilia tp mazembe kweli these hoes a'nt loyal
 
Dk 26 magoli bado magumu.Yanga inajitahidi kuleta mashambulizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…