Mechi ya Yanga FC Vs TP Mazembe - Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

Penaaaat..hapana... namna gani hapa.TP Mazembe walikuwa wanaenda kufunga.Kamusoko amefanya takoling hapa
 
Naipenda Yanda watoto wa Jangwani! Wapi wimbo wa msaga sumu? Please share.
 
Juma Abdul anapiga paleeeee.Yanga wanapoteza nafasi nzuri sana langoni mwa tp
 
Yanga nafasi hizi wanazozipoteza watazijutia baadae.!
 
Kadi zimeshawachanganya tunahitaji kuongeza presha
 
mechi ya aina yake. ndani mashabiki wanashangilia, nje mabomu yanarindima. Haitakuwa na implication yoyote kwa CAF dhidi ya Yanga?
 
Kadi zimeshawachanganya tunahitaji kuongeza presha
Hawa ni wazoefu hawana presha sana, muhimu ni yanga kuzitumia vizuri nafasi wanazozipata wasijekujutia baadae.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…