Mechi ya Yanga FC Vs TP Mazembe - Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

Endeleeni kujipa presha na soka la bongo. Hata timu ya taifa ina laana kama ya uingereza tu. Na kuingia bure, mnaambulia patupu.
 
Humu kuna mashabiki wa Spain na England wengi ndo wanaleta hasira humu kma watu niwazarendo lazma waone kiasi cha game hii team ya Yanga kilivyo ongezeka wanastahili hongera

Uzalendo kwenye timu yenye 7 players first eleven ambao sio watanzania?? Umekula bange ya wapi
 
Ooh sisi wa kimataifa, mara ooh washabiki waingie bure, mara ooh tumeleta washabiki wawili wa simba wamekuja kutusapoti. Poleni wana mataifwa
 
uongo pembeni yanga wamejitahi sana. kibongo bongo wanastahili futari ya kupozea kwa manji...
team intaneshno hapana tanzania nzima
 
Dakika 2 uwanja mweupeeee!! wakimataifa vipi leo? mshukuru ulimwengu leo kaona aibu tu kuwaaibisha ndugu zake vinginevyo bao zilikuwa kama 3 hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…