Mechi ya Yanga FC Vs TP Mazembe - Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

Tangu nigundue yanga ni timu ya CCM nilijivua uanachama na mapenzi kabisa...tp mazembe timu piga yeboyebo vyura fc bao NNE tu,..uzalendo peleka Iceland Hapo visasi tu.!!
 
Mungu Baba wa mbinguni tunakuomba uiwezeshe timu ya wananchi ishinde Leo...Amina
 
Kutoka Mbagara kwenda mjini kunafoleni sana watu wanatembea kwa miguu sijui uko mbele ya mataa ya karibu na chuo cha uhasibu kuna nini au ndo watu washaanza kwenda uwanjani?
Hiyo foleni haihusiani na mechi.. kuna malori yameharibika hapo msikitini ikapelekea foleni pande zote
 
Aisee nasikia mpaka sasa hihi sa moja uwanja uneshajaa.
 
na Mungu ni mmoja tu ukumbuke
Mbona kiherehere wewe,subirini na nyie timu yenu mshiriki mashindano ya kimataifa ili mpate kuiombea, timu ambayo hamna hat uhakika itashiriki lini,sasa hivi ni zamu ya yanga .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…