Mechi ya Yanga FC Vs TP Mazembe - Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

Mechi ya Yanga FC Vs TP Mazembe - Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam

kula sio ishu kwao ndo maana unawaona wapo hapo,isitoshe kuna vitu vingi vya kula vinauzwa kiwanjani,na pia usisahau kuna wengine wamefunga.
Yaah!! Nimekuelewa hapo bro!! Wengi wamefunga so hawaoni hatari kulala hapo uwanjani.. Ila Jerry Muro katumia bonge la akili manake uwanja utafurika na kukaa ni sehemu yoyote ile. Dadeki!!!
Watu kama hawa ndio wanatakiwa wapewe TFF sio wenye njaa.. Timu mbele njaa nyuma... Big up jery japo mimi ni mnyama damu
 
Ukija Taifa, ukijua huipendi Yanga,tafadhali funga mdomo wako kwa karatasi kama wale jamaa wa UKAWA mjengoni. Usikosee kushangilia wageni, nitakwenda jela kwa ajili yako. Sina utani, ugenini tunanyanyasika sana ,tena mbele ya askari wao.
 
SWALI LA KIPIMAJOTO ITV. Je kujaa kwa uwanja wa Taifa siku ya Jumanne tangu saa moja asubuhi, Tatizo la ajira limeongezeka au mapenzi ya soka yameongezeka, au tabia ya kupenda bure imeongezeka?......Mimi nimejibu Sijui.....je wewe jibu lako
 
SWALI LA KIPIMAJOTO ITV. Je kujaa kwa uwanja wa Taifa siku ya Jumanne tangu saa moja asubuhi, Tatizo la ajira limeongezeka au mapenzi ya soka yameongezeka, au tabia ya kupenda bure imeongezeka?......Mimi nimejibu Sijui.....je wewe jibu lako

ungeandika pia umemnukuu edo kumwembe
 
mi nawaombea yanga aka kanda mbili wafungwe za kutosha tu
 
hapo mtakuwa mmesha ikubali yanga..mimi hata kwa dawa siji vaa jezi simba wakati mimi ni yanga
 
Back
Top Bottom