hahahahaaaa mkuu shida tu, kama simba ndio alicheza uwanjaniBora wewe umemuuliza maana mi nikadhani timu yake haijacheza leo wakati ndo hao hao wamekubali kamoja japo kwa shida
basi ajifunze kufunga mdomo wake maana akianza kutapika mpaka anahara aise!Atamtambia nani, maneno mengi kama kasuku lakini vitendo hakuna maana hawa raia wanaolilia kujenga uwanja bondeni kwenye mafuriko ambako NEMC wamekataza hawana sera
Mtaani tuliiii..Kimyaaa.Mitaa ipo tulivu kabisa asante tp mazembe
Mi ngoja niwasemee kwa muda:hahahahaaaa mkuu shida tu, kama simba ndio alicheza uwanjani
Ulimwengu hana huruma...Anawapiga watu chenga mpaka wanaomba msamaha😀😀😀😀Hii inaitwa ringa tena...au unaimba " amerudi analia eeh..... Anatia huruma....mtanzania mwenzetu ametutoa kimasomaso
Wamejitahidi kweli kwa sare!!uongo pembeni yanga wamejitahi sana. kibongo bongo wanastahili futari ya kupozea kwa manji...
team intaneshno hapana tanzania nzima
Team ya Dar Young Africans leo imefanikiwa kuchapwa bao Moja na TP Ya TP Mazembe katika uwanja wa Taifa Dsm.
Katika Pambano hilo Yanga walicheza Kabumbu safi sana ambalo haljawah kuonekana Dunian lakin bahat tu haikiwa yao baada ya mipira yao mingi kugonga mwamba na kutoka sentimita chache sana.
Kiukwel team hii IMEENDELEA KUFA KIUME katika mechi zake za hivi karibuni.
Dah umenikumbusha ule msemo maarufu kwamba kufungwa tumefungwa lakini chenga tumewala...Team ya Dar Young Africans leo imefanikiwa kuchapwa bao Moja na TP Ya TP Mazembe katika uwanja wa Taifa Dsm.
Katika Pambano hilo Yanga walicheza Kabumbu safi sana ambalo haljawah kuonekana Dunian lakin bahat tu haikiwa yao baada ya mipira yao mingi kugonga mwamba na kutoka sentimita chache sana.
Kiukwel team hii IMEENDELEA KUFA KIUME katika mechi zake za hivi karibuni.