Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,206
- 18,549
Nimependa anavyo cheza yule Kamusoko, hadi nilikua natamani kila wakati apewe mpira.
TP mazembe walikua wanajua nini wanafanya , Yanga walikua wanatafuta ushindi wa sifa.
Goli limefungwa kwa akili sana, kulihitajika mtu anaye ona visivyo onekana kuuzuia ule mpira. Pass ya akili
TP mazembe walikua wanajua nini wanafanya , Yanga walikua wanatafuta ushindi wa sifa.
Goli limefungwa kwa akili sana, kulihitajika mtu anaye ona visivyo onekana kuuzuia ule mpira. Pass ya akili