Mechi ya Yanga FC Vs TP Mazembe - Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam


Kama kawa CCM 4 TP Mazembe 0..... godbless us!
 
Yale yale mjini mipango ukifuatilia ya watu yako utachelewa kuyafanya mim madili yangu ni ya usiku mchana ni kurelax! Endelea kufuatilia wanaume kama hujaolewa! Mjini hapa
 
Hata kama wataenda milion 3 mmeruhusiwa kuingia 40,000 tu , wengine wote watarudishwa , na mpaka muda huu taarifa zinasema mabomu yameanza kurushwa , unajua ni kwanini ? Watu ni wengi kuliko idadi inayotakiwa .
 
polisi kwa sasa wanapiga mabomu ya machozi kuwatawanya mashabiki wanaong'ang'ania kuingia uwanjani huku ukiwa tayari umejaa. watu wanazidi kumiminika kwa wingi kuliko maelezo
 
Wengine madoctor wanafanya kazi part time usiku hadi asubuhi
Ukishasema part time, maana yake ameajiriwa mahali fulani for full time. Sasa uwanjani saa 12 hadi 2 usiku kuna daktari gani anaweza kufanya hicho? Hao hawana kazi, serikali ichukulie hiyo kama sample ya utathmini wa ajira
 
We mwenyewe upo kundi hilo hilo umejuaje yote hayo kqma haupo eneo la tukio?
Good question , ni hivi , siku zote mimi na mke wangu tumejiwekea utaratibu wa kufanya Jogging mapema sana asubuhi , kutoka kwetu Tandika Mwembe Yanga hadi uhasibu kupitia Uwanja wa Taifa , nadhani sasa umeelewa kwanini nimewaona hao mashabiki wa Yanga wasio na kazi za kufanya .
 
Ukija Taifa, ukijua huipendi Yanga,tafadhali funga mdomo wako kwa karatasi kama wale jamaa wa UKAWA mjengoni. Usikosee kushangilia wageni, nitakwenda jela kwa ajili yako. Sina utani, ugenini tunanyanyasika sana ,tena mbele ya askari wao.

Unaumwa minyoo.. Nitashangilia TP Mazembe sasa ingia kwenye kumi na nane nikung'oe meno
 
Ukishasema part time, maana yake ameajiriwa mahali fulani fo full time. Sasa uwanjani saa 12 hadi 2 usiku kuna daktari gani anaweza kufanya hicho? Hao hawana kazi, serikali ichukulie hiyo kama sample ya utathmini wa ajira
Nakushukuru sana kwa huruma yako kwa Watanzania wenzetu wasio na kazi .
 
Hata kama wataenda milion 3 mmeruhusiwa kuingia 40,000 tu , wengine wote watarudishwa , na mpaka muda huu taarifa zinasema mabomu yameanza kurushwa , unajua ni kwanini ? Watu ni wengi kuliko idadi inayotakiwa .
Huna lolote wivu wa kike unakusumbua,wee ni wa matopen itu, tulia nyumbani kwako uangalie kwenye tv,waache wasio na kazi wakaangalie live,wee inakuumiza nini ?hawana kazi sawa una msaada gani katika hilo kwao?waache wafanye linalowafurahisha nafsi zao,halafu ni muongo sana wewe kwa taarifa yako uwanja umeshajaa na milango imeshafungwa sasa hayo mabomu wanapigwa kina nani? tembelea blog za kimichezo za saleh jembe na bin zubeiry uone kinachoendelea na kukaa kwenye kisimu chako na kutunga uongo usio na tija.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…