Mechi ya Yanga Mbeyaa City ni fujo

wakimataifa

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
942
Reaction score
168
mechi ya hiyo leo ni fujo tupu namtahadharisha mwamuzi wa leo achezeshe haki.fununu toka mbeya ni kampeni mkoa mzima eti lazima yanga afungwe na kuna habari juzi ktk mazoezi tambwe alizimia mwa muda cha umuhimu mwamuzi chezesha haki bila kupendelea kokote
 
Umeoteshwa na nani hii ndoto? na ndoto yako inatufundisha nn
 
Kuzimia kwa Tambwe mazoezini, unadhani kunauhusiano gani hali ya mchezo wa leo?
 
mbeya city anakufa hapohapo mbele ya ndugu zake!
 
Leo simba,yanga,azam zinashuka dimbani naomba kujua channel zitakazorusha kutoka azam tv
 

Mmeanza kutafuta visingizio ili mpate pa kuanzia?
 
mbeya city hana ubavu wa kumfunga yanga leo. subirini mtajionea.
 

leo mnapigwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…