CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Simba Angekuwa na timu nzuri Mwarabu angekufa 3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kaa kwa kutulia kijana kuna wazee humu, afu jiandae kumwona Wenger kwa mara ya kwanza na ya mwisho katika maisha yako. Pia kumbuka kwenye mpira wake duniani atakuwepo - wewe ni nani ?
Wahimize uto wenzio waje kujifunza pira linavyochezwa, ile siyo IHEFU 😀 😀
nchi inakwenda kusimama kesho, Uto wasubiri mechi yao ya marudiano na IHEFU 😀 😀Utopolo mkiambiwa AFL ni jambo kubwa mkubali tu..yaani NBC league inaonekana kama ndondo