Mechi ya Yanga na Simba iwe game ya 30 kwao kuondoa mzizi wa fitina

Mechi ya Yanga na Simba iwe game ya 30 kwao kuondoa mzizi wa fitina

ubarinolutu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2012
Posts
2,424
Reaction score
4,954
Sasa Baada ya Kuona Mikiki mikiki ya kukimbiana na kuogopana baina ya simba na yanga, ikichagizwa na mambo ya kishirikina na msururu wa majeruhi kwa timu ya Simba, hivyo kulingana na siasa za mpira wa tanzania na Ukubwa wa Simba na Yanga , ambazo kiuhalisia zina nguvu kuliko hata TFF na Bodi yake ya Ligi, nadhani baada ya CCM ni Yanga na simba ndio zinafuatia kwa ukubwa na nguvu ya ushawishi Kwa maana ya kwamba Mangungu anaweza kumshinda Samia kupitia simba.

Sasa mimi sina maneno mengi napenda kutoa Rai kwa Bodi ya Ligi , iweke mechi ya Simba na Yanga kuwa mechi ya mwisho kwa maana ya mechi ya 30 kwa simba na yanga, nadhani hiyo mechi ndo itakuwa vita vya tatu vya Dunia WWW3, kama msimamo wa ligi utakuwa bado ni tofauti ya pointi moja, waganga wataenda kuchukuliwa hadi zaire.

Game ya 30 ya Ligi ya NBC ya Yanga ni Dhidi ya Simba, na mechi ya Ligi ya 30 ya Simba itakuwa ni dhidi ya Yanga, tumalize mechi zingine zote, ili tukatoboane na spoku na bisibisi
 
Mabaunsa popote Walipo Wasakwe kwanza ndo mengine yajadiliwe.!

Wamesababisha Kadhia Kubwa Sana.
 
Nimecheka sana. Hii nimeipenda. Hii itakua ni mechi haijawahi kutokea duniani tangu kuumbwa kwake.

Naimba iwe hivyo ingawa wale wahuni wa tifuatifua hawawezi kukubali. Anyway tukutane FA, wote wakaze tukutane fainali.
 
Sasa Baada ya Kuona Mikiki mikiki ya kukimbiana na kuogopana baina ya simba na yanga, ikichagizwa na mambo ya kishirikina na msururu wa majeruhi kwa timu ya Simba, hivyo kulingana na siasa za mpira wa tanzania na Ukubwa wa Simba na Yanga , ambazo kiuhalisia zina nguvu kuliko hata TFF na Bodi yake ya Ligi, nadhani baada ya CCM ni Yanga na simba ndio zinafuatia kwa ukubwa na nguvu ya ushawishi Kwa maana ya kwamba Mangungu anaweza kumshinda Samia kupitia simba.

Sasa mimi sina maneno mengi napenda kutoa Rai kwa Bodi ya Ligi , iweke mechi ya Simba na Yanga kuwa mechi ya mwisho kwa maana ya mechi ya 30 kwa simba na yanga, nadhani hiyo mechi ndo itakuwa vita vya tatu vya Dunia WWW3, kama msimamo wa ligi utakuwa bado ni tofauti ya pointi moja, waganga wataenda kuchukuliwa hadi zaire.

Game ya 30 ya Ligi ya NBC ya Yanga ni Dhidi ya Simba, na mechi ya Ligi ya 30 ya Simba itakuwa ni dhidi ya Yanga, tumalize mechi zingine zote, ili tukatoboane na spoku na bisibisi
Hebu kaazime basi walau akili kidogo tu bosi

Kumbuka kuahilishwa kwa mechi ya simba na yanga hii safari ya pili sasa hehehe utachezaje mechi inayovuta hisia kubwa ya watanzania wakati samia anahutubia pata walau d mbili tu ili uelewe samia ana nguvu ya kuzuia mechi hizo zote na huwezi gundua
Mpaka uwe na d mbili za jangwani tu 🤣🤣🤣🤣
 
Hebu kaazime basi walau akili kidogo tu bosi

Kumbuka kuahilishwa kwa mechi ya simba na yanga hii safari ya pili sasa hehehe utachezaje mechi inayovuta hisia kubwa ya watanzania wakati samia anahutubia pata walau d mbili tu ili uelewe samia ana nguvu ya kuzuia mechi hizo zote na huwezi gundua
Mpaka uwe na d mbili za jangwani tu 🤣🤣🤣🤣
suala la hotuba na mechi hii havihusiani

japo mechi ilihairishwa hakuna aliye fatilia hotuba
 
Mpaka uwe na d mbili la sivyo huwezi jua nikuache kama ulivyo
hakuna kitu kama icho, ni kutaka kujifanya mna fikiria mbali kumbe hakuna lolote

simba kakimbia mechi wala hakuna mambo ya hotuba
 
Sasa Baada ya Kuona Mikiki mikiki ya kukimbiana na kuogopana baina ya simba na yanga, ikichagizwa na mambo ya kishirikina na msururu wa majeruhi kwa timu ya Simba, hivyo kulingana na siasa za mpira wa tanzania na Ukubwa wa Simba na Yanga , ambazo kiuhalisia zina nguvu kuliko hata TFF na Bodi yake ya Ligi, nadhani baada ya CCM ni Yanga na simba ndio zinafuatia kwa ukubwa na nguvu ya ushawishi Kwa maana ya kwamba Mangungu anaweza kumshinda Samia kupitia simba.

Sasa mimi sina maneno mengi napenda kutoa Rai kwa Bodi ya Ligi , iweke mechi ya Simba na Yanga kuwa mechi ya mwisho kwa maana ya mechi ya 30 kwa simba na yanga, nadhani hiyo mechi ndo itakuwa vita vya tatu vya Dunia WWW3, kama msimamo wa ligi utakuwa bado ni tofauti ya pointi moja, waganga wataenda kuchukuliwa hadi zaire.

Game ya 30 ya Ligi ya NBC ya Yanga ni Dhidi ya Simba, na mechi ya Ligi ya 30 ya Simba itakuwa ni dhidi ya Yanga, tumalize mechi zingine zote, ili tukatoboane na spoku na bisibisi
Yanga tuweza kufikiria kucheza hiyo mechi ikiwa Bodi ya ligi itapata viongozi na wajumbe wapya wasioweza kuonyésha mahaba niue kwa timu zao wanazoshabikia.
 
Hebu kaazime basi walau akili kidogo tu bosi

Kumbuka kuahilishwa kwa mechi ya simba na yanga hii safari ya pili sasa hehehe utachezaje mechi inayovuta hisia kubwa ya watanzania wakati samia anahutubia pata walau d mbili tu ili uelewe samia ana nguvu ya kuzuia mechi hizo zote na huwezi gundua
Mpaka uwe na d mbili za jangwani tu 🤣🤣🤣🤣
Samia asisingiziwe.
Ratibà ya Rais inafahamika muda mrefu na ratibà derby ilikua hivyo hivyo, waandaaji wa ratibà Ikulu hawakuliona hili mpaka wasimamie figisu Siku Moja kabla ya mchezo?
Haiingii akilini hii.
 
Samia asisingiziwe.
Ratibà ya Rais inafahamika muda mrefu na ratibà derby ilikua hivyo hivyo, waandaaji wa ratibà Ikulu hawakuliona hili mpaka wasimamie figisu Siku Moja kabla ya mchezo?
Haiingii akilini hii.
Nimeanza kupata picha Sasa waliokua getini ni akina nani...na ndio mana sijashangaa na sjasikia popote hata jeshi la Polisi likisema linawatafuta mana walichofanya ni uhalifu
 
Back
Top Bottom