Mechi ya YANGA yaingiza mapato zaidi kuliko mechi za Simba, hata zile za CAF

Swali ni , Je,viingilio vinafanana kwa mechi hizo?

Yaani mwenyeji akiwa Yanga na mwenyeji akiwa Simba viingilio vimefanana?
Viingilio Mara nyingi vinakuwa affordable.....so it means vinafanana....kwny mech za ligi kuu
 
Onesha gazeti la pili likionesha robo fainali nyingine na nusu japo 1 ili kudhihirisha kweli ninyi ni bora kuliko Simba Sc
Ubora wa YANGA Ni kuwa wamechukua ubingwa Mara nyingi zaidi kuliko timu zingine
 
Mkuu Kwan wew unadhani rivers United ni timu kubwa?
Ndio maana nimekuuliza yanga inakuwa kubwa inapocheza na Simba tu? Kama yanga timu kubwa imecheza na timu ndogo ya Rivers utd na hatuoni mkijivunia hayo mapato sasa hamuoni hayo mapato mnayojivunia sasa yametokana na mliecheza nae (simba)?
 
Hoja yangu ni kwamba, inaongoza kwa mechi ngapi? Kumbuka hapo zimetajwa Yanga, Simba na Orlando tu, lakini ilikuwapo Jwaneng Galaxy, Red Arrows, Berkane, ASEC na USGN, pamoja na Rivers
Yanga wengi jamaa yangu
 
Juzi ameweka picha ya mashabiki siku ya Yanga Day akidai ni picha ya derby ya juzi, bahati nzuri watu wakayashtukia maspika ya Koffi Olomide 😂
Yani hapo ndio nilipoona jamaa anatumia nguvu kubwa sana kujiona wao ni wakubwa hadi kufikia hatua anapotosha
 
Mbona umepuyanga,so unataka kusema mapato ya game zote 2 za derby ndio yalifanya Yanga aongoze kwa mapato,we jamaa kweli kila..,msimu uliopita match zote 2 za derby mapato alichukua Yanga,then naona hata hii game ya juzi ukuwepo uwanjani,mashabiki wa Yanga walijaza orange,blue na kijani kwa upande wao,mikia hiyo orange kulikua na magap na kule juu ndio kabisa amkua wengi
 

Ni kweli mkuu ata Mie naona mlijaza
 
Acha ukilaza,zoom hiyo picha uone Yanga walijaa mpaka kijani kule kwa upande wao,hii imepigwa orange ya upande wa tv ya uwanjani
Acha ujinga wewe, kwahiyo we unaona kuna haja ya kuzoom hiyo picha? We huoni Kama Robo Tatu ya Mashabiki wa Simba wamejaa Hadi kwenye jukwaa la Yanga?

Nikizoom ndio mashabiki wa Yanga watajaa kwenye picha? Au umeangalia picha ulizopostiwa na Manara za siku ya wananchi ndio unadhania za derby ya Juzi, nendeni uwanjani sio maneno mengi jamii forum alafu uwanjani hamuendi
 
Ngoja nikukumbushe title ya uzi, maana naona umeanza kuzungumzia wingi:

Mechi ya YANGA yaingiza mapato zaidi kuliko mechi za Simba...hata zile za CAF​

Mechi za Simba hata zile za caf ni tofauti na mechi zote za Simba hata zote za caf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…